Kwa kuwa ndani ya kwaya ya Mt.Jeromekuna wanataaluma tofauti,Mwalimu huyu hakusita kuingia chimbo na kuwatolea nondo z maana kuhusu elimu ya mahusiano na uzazi.Ni mwalimu wa kwaya lakini kumbe amesheheni nondo za maana.Hapa akiteremsha mambo ya Rizaz fakta. kwa wale waliotoroka baiolojia jaa walionekana kidogo wakisinzia huku wengine wakianza kukosa mudi.Big up ticha.
No comments:
Post a Comment