Monday, November 14, 2011

Wakiwa katika pozi ni wahitimu wa shahada ya  kwanza ya uandishi wa habari  mara baada ya kuhitimu na kupewa  vyeti vyao
.Jamani chuo kikuu si lelemama kama wengi wanavyofikiria, na ukimuona mwenzio kamaliza basi ujue kavumilia kweli!Wahenga walisema ukimuona nyani kazeeka basi huyo kakwepa mishale mingi lakini kwa dunia hii ya leo mishale haitumiki kwa hiyo tunasema, ukiliona  Jinyani   limezeeka basi risasi kazikwepa kweli kweli!!

No comments:

Post a Comment